Sunday, February 15, 2009

JK Ahudhuria Nondozzz Za St. Joseph College Of Engineering And Technology

JK akimkabidhi kombe Angelaambaye aliibuka kuwa mmoja wa wanafunzi waliofunika katika kula nondozz ya IT wakati wa mahafali ya kwanza ya Chuo Kikuu cha St.Joseph College of Engineering and Technology huko Luguruni, Mbezi, Dar. Kati s Arch-bishop Norbert Mtega wa Arch-Diocese of Songea

No comments:

Post a Comment